25Mei2013

 

Sarafu moja EAC katika hatua za mwisho

WAZIRI wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta, amewasilisha hotuba ya bajeti ya wizara hiyo kwa mwaka ujao wa fedha huku akieleza mikakati iliyowekwa katika uanzishwaji wa Umoja wa Fedha wa Jumuiya ya Afrika Mashariki utakaozifanya nchi wanachama kutumia sarafu moja.

Soma zaidi...

  • Imeandikwa na Oscar Mbuza, Dodoma
  • Imesomwa mara: 52

Mbunge ahoji utekelezaji wa Sera ya Fedha

MBUNGE wa Ole, Rajab Mbarouk Mohammed (CUF) amehoji dhamana na hati fungani za Serikali pamoja na kuuza na kununua fedha za kigeni na kutumia mikataba ya kununua upya dhamana pamoja na madirisha yake yote ya ukwasi ili kutekeleza malengo ya sera ya fedha ya mwaka 2011/2012 jinsi unavyosaidia ukuaji wa uchumi nchini.

Soma zaidi...

  • Imeandikwa na Sifa Lubasi, Dodoma
  • Imesomwa mara: 20

Ewura wafagiliwa kudhibiti ubora wa mafuta

MAMLAKA ya Udhibiti wa Nishati na Maji (EWURA) imepongezwa kwa kazi kubwa ya kudhibiti ubora wa mafuta nchini katika kipindi cha Julai 2012 na Machi 2013.

Soma zaidi...

  • Imeandikwa na Oscar Mbuza, Dodoma
  • Imesomwa mara: 68

Kamati ya Bunge yapongeza kufutwa leseni

WIZARA ya Nishati na Madini imepongezwa kwa hatua yake ya kufuta leseni za madini ambazo zimekuwa hazifanyiwi kazi kwa muda mrefu. Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini, Victor Mwambalaswa alisema bungeni mjini hapa kwamba hatua hiyo itasaidia katika kuwapatia maeneo husika waombaji wapya hususan wachimbaji wadogo.

Soma zaidi...

  • Imeandikwa na Oscar Mbuza, Dodoma
  • Imesomwa mara: 125

EPZA yapokea wawekezaji 15

MAMLAKA ya Uzalishaji na Mauzo ya Nje (EPZA) jana ilipokea wawekezaji wapya 15 wenye jumla ya mtaji wa dola za Marekani milioni 123 (takribani Sh bilioni 200), wakiwa na uwezo wa kutengeneza ajira mpya 13,947 za moja kwa moja kwa Watanzania.

Soma zaidi...

  • Imeandikwa na Mwandishi Wetu
  • Imesomwa mara: 138

Bandari Dar yatakiwa kufanyiwa mabadiliko

BENKI ya Dunia imeingilia kati suala la ukosefu wa ufanisi wa Bandari ya Dar es Salaaam (TPA) na kuishauri Serikali kuifanyia mabadiliko makubwa bandari hiyo kupitia mpango wake wa Matokeo Makubwa sasa (BRN) ili kukuza uchumi.

Soma zaidi...

  • Imeandikwa na Halima Mlacha
  • Imesomwa mara: 192