HabariLeo | Gwiji la Habari Tanzania HabariLeo | Gwiji la Habari Tanzania. Pata habari moto moto nazenye huhakika http://www.habarileo.co.tz/index.php/habari-za-kitaifa Sat, 18 May 2013 17:10:08 +0300 Joomla! - Open Source Content Management en-gb Watano wanaswa na milipuko Dar http://www.habarileo.co.tz/index.php/habari-za-kitaifa/12136-watano-wanaswa-na-milipuko-dar http://www.habarileo.co.tz/index.php/habari-za-kitaifa/12136-watano-wanaswa-na-milipuko-dar

POLISI katika Kanda Maalumu ya Dar es Salaam inawashikila watu watano kwa tuhuma za kupatikana wakiwa na milipuko hatari.

]]>
bmsongo@hotmail.com (Hellen Mlacky ) Habari za Kitaifa Sat, 18 May 2013 05:17:49 +0300
`Jeshi maalumu’ kukabili ujangili http://www.habarileo.co.tz/index.php/habari-za-kitaifa/12140-jeshi-maalumu-kukabili-ujangili http://www.habarileo.co.tz/index.php/habari-za-kitaifa/12140-jeshi-maalumu-kukabili-ujangili

KATIKA kukabiliana na ujangili kwa wanyamapori nchini, Serikali imeanza mchakato wa kuanzishwa kwa Mamlaka ya Wanyamapori Tanzania itakayokuwa mithili ya `jeshi maalumu’ la kulinda wanyama hao.

]]>
bmsongo@hotmail.com (Theopista Nsanzugwanko) Habari za Kitaifa Sat, 18 May 2013 05:13:49 +0300
Elimu ya msingi kuwa miaka 10 http://www.habarileo.co.tz/index.php/habari-za-kitaifa/12139-elimu-ya-msingi-kuwa-miaka-10 http://www.habarileo.co.tz/index.php/habari-za-kitaifa/12139-elimu-ya-msingi-kuwa-miaka-10

RASIMU ya Sera ya Elimu na Mafunzo nchini inapendekeza kuunganisha elimu ya msingi na sekondari ya kawaida ya sasa ili kuunda elimu-msingi itakayotolewa kwa kipindi cha miaka 10 kuanzia mwaka 2018, imefahamika. Rasimu ya kwanza ya Sera hiyo imeshakamilika na sasa wadau mbalimbali wanatoa mapendekezo yao kuiboresha, kabla ya kupelekwa bungeni ili kutungiwa sheria.

]]>
bmsongo@hotmail.com (Mgaya Kingoba, Dodoma ) Habari za Kitaifa Sat, 18 May 2013 05:00:55 +0300
Kiswahili kutumika kwenye mikutano ya kimataifa http://www.habarileo.co.tz/index.php/habari-za-kitaifa/12109-kiswahili-kutumika-kwenye-mikutano-ya-kimataifa http://www.habarileo.co.tz/index.php/habari-za-kitaifa/12109-kiswahili-kutumika-kwenye-mikutano-ya-kimataifa

SERIKALI imesema inafanya mkakati kuhakikisha Kiswahili kinazungumzwa katika kongamano za kimataifa. Aidha, imekiri kwamba walimu wengi wanaofundisha lugha hiyo katika vyuo mbalimbali vya kimataifa, wanatoka Kenya jambo ambalo imesema inafanyika mikakati kuwezesha Watanzania pia kufundisha.

]]>
bmsongo@hotmail.com (Stella Nyemenohi,Dodoma) Habari za Kitaifa Sat, 18 May 2013 01:42:13 +0300
‘Wabunge, wastaafu wasiteuliwe bodi za mashirika’ http://www.habarileo.co.tz/index.php/habari-za-kitaifa/12108-wabunge-wastaafu-wasiteuliwe-bodi-za-mashirika http://www.habarileo.co.tz/index.php/habari-za-kitaifa/12108-wabunge-wastaafu-wasiteuliwe-bodi-za-mashirika

MBUNGE wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi (Chadema) ametaka wastaafu na wabunge, wasiingizwe kwenye bodi za mashirika ya serikali, badala yake wateuliwe watu wapya, hususan vijana. Mbilinyi alisema wabunge wana mambo mengi.

]]>
bmsongo@hotmail.com (Stella Nyemenohi, Dodoma ) Habari za Kitaifa Sat, 18 May 2013 01:33:13 +0300
Askofu Mstaafu Mtega ataka amani http://www.habarileo.co.tz/index.php/habari-za-kitaifa/12134-askofu-mstaafu-mtega-ataka-amani http://www.habarileo.co.tz/index.php/habari-za-kitaifa/12134-askofu-mstaafu-mtega-ataka-amani

WAUMINI wa dini ya Kikristo nchini, wamehimizwa kudumisha amani na waumini wa dini nyingine na kutojaribu kujitenga kwa misingi ya tofauti za dini na ukanda. Hayo yamesemwa leo mjini hapa na Askofu mkuu mstaafu wa jimbo la Songea Mhashamu Norbet Mtega wakati akizungumza na waandishi wa habari sababu ya kustaafu kwake.

]]>
bmsongo@hotmail.com (Muhidin Amri, Songea ) Habari za Kitaifa Sat, 18 May 2013 01:13:37 +0300
Shahidi aeleza washtakiwa walivyoharibu sufuria ya shule http://www.habarileo.co.tz/index.php/habari-za-kitaifa/12112-shahidi-aeleza-washtakiwa-walivyoharibu-sufuria-ya-shule http://www.habarileo.co.tz/index.php/habari-za-kitaifa/12112-shahidi-aeleza-washtakiwa-walivyoharibu-sufuria-ya-shule

SHAHIDI katika kesi ya kuharibu mali inayomkabili Imamu wa Msikiti wa Kigwe na wenzake wawili, ameiambia mahakama kuwa, alishuhudia sufuria kubwa la kupikia chakula cha wanafunzi wa Shule ya Msingi Kigwe, likiharibiwa, kwa madai kuwa lilikuwa likitumika kwa ajili ya kuchemshia maji ya kuchunia nguruwe.

]]>
bmsongo@hotmail.com (Sifa Lubasi, Dodoma) Habari za Kitaifa Sat, 18 May 2013 00:58:22 +0300
Wazawadiwa kwa ubunifu wa kupunguza ajali barabarani http://www.habarileo.co.tz/index.php/habari-za-kitaifa/12124-wazawadiwa-kwa-ubunifu-wa-kupunguza-ajali-barabarani http://www.habarileo.co.tz/index.php/habari-za-kitaifa/12124-wazawadiwa-kwa-ubunifu-wa-kupunguza-ajali-barabarani

KATIKA kuboresha usalama barabarani na kupunguza ajali, makundi matano yamepata tuzo ya ubunifu katika kuboresha masuala ya usalama barabarani kwa kutumia Teknolojia ya Mawasiliano (ICT).

]]>
bmsongo@hotmail.com (Regina Kumba) Habari za Kitaifa Sat, 18 May 2013 00:38:23 +0300
Wahabeshi 12 mbaroni Dar http://www.habarileo.co.tz/index.php/habari-za-kitaifa/12123-wahabeshi-12-mbaroni-dar http://www.habarileo.co.tz/index.php/habari-za-kitaifa/12123-wahabeshi-12-mbaroni-dar

JESHI la Polisi Mkoa wa Kinondoni limefanikiwa kuwakamata raia wa Ethiopia 12 kwa kosa la kuingia nchini bila kibali.

]]>
bmsongo@hotmail.com ( Abdallah Selemani, Polisi) Habari za Kitaifa Sat, 18 May 2013 00:35:14 +0300