22Mei2013

 

Kuhani msiba

Spika wa Bunge, Anne Makinda akimfariji Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu alipofika kuhani msiba wa baba wa mbunge huyo, Agustino Mughwai nyumbani kwake Tegeta, Dar es Salaam jana.

Mzee Mughwai alifariki dunia Jumapili iliyopita katika Hospitali ya Muhimbili, alikokuwa amelazwa na anatarajiwa kuzikwa Singida Jumamosi. (Picha na Owen Mwandumbya).