19Mei2013

 

Doria ya wanamaji

Meja Jenerali Saidi Shaaban Omar akikata utepe kuashiria uzinduzi wa mfumo wa doria wa wanamaji wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) katika kituo cha Wanamaji Kigamboni Dar es Salaam jana.

Kulia ni Balozi wa Marekani nchini, Alfonso Lenhardt. (Picha ya Ubalozi wa Marekani).