Chakula kwa wahitaji
- Post 19 Septemba 2012
Wajasiriamali wa Kijiji cha Mtera katika wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma wakipika vyakula kwa ajili ya kuwauzia wahitaji.
Sahani moja ya chakula wanauza kwa Sh 1,500. (Picha na Sifa Lubasi).
Wajasiriamali wa Kijiji cha Mtera katika wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma wakipika vyakula kwa ajili ya kuwauzia wahitaji.
Sahani moja ya chakula wanauza kwa Sh 1,500. (Picha na Sifa Lubasi).