18Mei2013

 

Chakula kwa wahitaji

Wajasiriamali wa Kijiji cha Mtera katika wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma wakipika vyakula kwa ajili ya kuwauzia wahitaji.

Sahani moja ya chakula wanauza kwa Sh 1,500. (Picha na Sifa Lubasi).