19Mei2013

 

Msaada wa madawati wa nmb

Naibu Waziri wa Kazi na Ajira, Dk Makongoro Mahanga (kushoto) na Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Hekima Buguruni, Adelphina Matia (katikati) wakipokea msaada wa madawati 50 yaliyotolewa na Benki ya NMB yenye thamani ya Sh milioni 5 kutoka kwa Meneja wa NMB Kanda ya Dar es Salaam, Salie Mlay.

Hafla hiyo ilifanyika shuleni hapo juzi. (Picha na Yusuf Badi).