Ufugaji wa kisasa
- Post 05 Machi 2013
Rais Jakaya Kikwete akiwaonesha wafugaji ng’ombe wa kisasa shambani kwake na kutaka wafugaji hao kuzingatia kanuni bora za kitaalamu ambapo ng’ombe mmoja anaweza kufikia uzito wa kilo 700. (Na Mpigapicha Wetu).
Rais Jakaya Kikwete akiwaonesha wafugaji ng’ombe wa kisasa shambani kwake na kutaka wafugaji hao kuzingatia kanuni bora za kitaalamu ambapo ng’ombe mmoja anaweza kufikia uzito wa kilo 700. (Na Mpigapicha Wetu).