19Mei2013

 

Ufugaji wa kisasa

Rais Jakaya Kikwete akiwaonesha wafugaji ng’ombe wa kisasa shambani kwake na kutaka wafugaji hao kuzingatia kanuni bora za kitaalamu ambapo ng’ombe mmoja anaweza kufikia uzito wa kilo 700. (Na Mpigapicha Wetu).