22Mei2013

 

Ushirikiano tsn na out

Kaimu Mhariri Mtendaji wa Kampuni ya Magazeti ya Serikali (TSN), Gabriel Nderumaki (wa tatu kushoto) akizungumza jambo na Naibu Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT) Profesa Modest Varisanga anayeshughulikia Maktaba na Teknolojia.

Kushoto ni Mkurugenzi Msaidizi wa Teknolojia ya Mawasiliano Steven Lukindo , Ofisa Masoko Mwandamizi, Ellapendo Albin na Kaimu Mkurugenzi wa Mawasiliano na Masoko, Maulana Ali (kulia).(Picha na Mohamed Mambo)