22Mei2013

 

Category: Makala

Wanafunzi kama hawa wa mkoani Katavi watafaidika na uboreshaji wa ufundishaji wa Kingereza katika shule za msingi na sekondari.

Uingereza yajitosa kuokoa Kingereza mashuleni

MATATIZO ya kielimu yanachangiwa na mambo mengi, mojawapo linalowagusa wanafunzi moja kwa moja kutokukielewa vizuri Kingereza ambacho wanakitumia kama lugha maalumu ya mawasiliano kwa mana ya kujifunzia katika masomo ya sekondari, kuuliza maswali ili kuelewa zaidi na kujibia mtihani.

Soma zaidi...

  • Imeandikwa na Shadrack Sagati
  • Imesomwa mara: 37

Category: Makala

Wajumbe wa Mkutano wa Kimataifa wa Wataalamu wa Maji barani Afrika (AfWA) wakisikiliza mada. Mkutano huo uliofanyika Dar es Salaam wiki iliyopita, uliambatana na maonesho ya bidhaa na huduma za sekta ya majisafi na majitaka.

Wataalamu wakuna vichwa kukomesha upotevu wa maji

“NCHI nyingi zina matatizo ya maji. Hakuna mji katika bara la Afrika usiokuwa na tatizo la maji. Uvunaji wa maji ya mvua utakuwa suluhisho. Hata Dar es Salaam ambako kuna Bahari ya Hindi, bado kuna tatizo kubwa la maji, kwa sababu maji yake ni ya chumvi na teknolojia ya kuyabadilisha haipo.”

Soma zaidi...

  • Imeandikwa na Nelson Goima
  • Imesomwa mara: 24

Category: Makala

Kutoka kushoto, Rais mstaafu wa Awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi, Rais Jakaya Kikwete na Rais Awamu ya Tatu, Benjamin Mkapa. Wote katika awamu zao wamepambana na Ukimwi.

MAPAMBANO YA UKIMWI-1: Tukabili VVU na Ukimwi kwa kupima, kubadili tabia

ELIMU ya Virusi Vya Ukimwi (VVU) na Upungufu wa Kinga Mwilini (Ukimwi) imeenea kila kona ya nchi na duniani kote.

Soma zaidi...

  • Imeandikwa na Bantulaki Bilango
  • Imesomwa mara: 21

Category: Makala

Deus Nyanza akionesha kwenye picha jinsi mtambo wa kusafisha maji taka unavyofanya kazi.

Ni wakati mwafaka kutibu majitaka yatumike tena

MAJI ni uhai wa viumbe vyote. Bila maji hakuna uhai.

Soma zaidi...

  • Imeandikwa na Ikunda Erick
  • Imesomwa mara: 22

Category: Makala

Wakulima wakihifadhi korosho ghafi.

Repoa: Wabanguaji wengi, uzalishaji zaidi wa korosho

MWAKA 1986 nchi za Tanzania na Vietnam zilizokuwa zinaongozwa na mifumo ya kijamaa zilitangaza kuachana na mfumo huo na kuingia katika soko huria na hivyo kuhitimisha enzi za serikali kumiliki njia kuu za uchumi.

Soma zaidi...

  • Imeandikwa na Shadrack Sagati
  • Imesomwa mara: 74

Category: Makala

Wafanyakazi wakipanga nondo.

TBS: Tutambue, ujue faida yetu katika biashara yako

KUMEKUWA na mitazamo tofauti miongoni mwa baadhi ya wazalishaji wa bidhaa mbalimbali za biashara nchini, kuhusu umuhimu wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS) katika sekta ya biashara.

Soma zaidi...

  • Imeandikwa na Namsembaeli Mduma
  • Imesomwa mara: 50