Category: Makala
- Created on 23 Mei 2013
Uingereza yajitosa kuokoa Kingereza mashuleni
MATATIZO ya kielimu yanachangiwa na mambo mengi, mojawapo linalowagusa wanafunzi moja kwa moja kutokukielewa vizuri Kingereza ambacho wanakitumia kama lugha maalumu ya mawasiliano kwa mana ya kujifunzia katika masomo ya sekondari, kuuliza maswali ili kuelewa zaidi na kujibia mtihani.
Category: Makala
- Created on 23 Mei 2013
Wataalamu wakuna vichwa kukomesha upotevu wa maji
“NCHI nyingi zina matatizo ya maji. Hakuna mji katika bara la Afrika usiokuwa na tatizo la maji. Uvunaji wa maji ya mvua utakuwa suluhisho. Hata Dar es Salaam ambako kuna Bahari ya Hindi, bado kuna tatizo kubwa la maji, kwa sababu maji yake ni ya chumvi na teknolojia ya kuyabadilisha haipo.”
Category: Makala
- Created on 23 Mei 2013
MAPAMBANO YA UKIMWI-1: Tukabili VVU na Ukimwi kwa kupima, kubadili tabia
ELIMU ya Virusi Vya Ukimwi (VVU) na Upungufu wa Kinga Mwilini (Ukimwi) imeenea kila kona ya nchi na duniani kote.
Category: Makala
- Created on 23 Mei 2013
Ni wakati mwafaka kutibu majitaka yatumike tena
MAJI ni uhai wa viumbe vyote. Bila maji hakuna uhai.
Category: Makala
- Created on 22 Mei 2013
Repoa: Wabanguaji wengi, uzalishaji zaidi wa korosho
MWAKA 1986 nchi za Tanzania na Vietnam zilizokuwa zinaongozwa na mifumo ya kijamaa zilitangaza kuachana na mfumo huo na kuingia katika soko huria na hivyo kuhitimisha enzi za serikali kumiliki njia kuu za uchumi.
Category: Makala
- Created on 22 Mei 2013
TBS: Tutambue, ujue faida yetu katika biashara yako
KUMEKUWA na mitazamo tofauti miongoni mwa baadhi ya wazalishaji wa bidhaa mbalimbali za biashara nchini, kuhusu umuhimu wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS) katika sekta ya biashara.


