24Mei2013

 

Zacharia Hans Poppe

Simba yavuka mipaka usajili

KLABU ya Simba imesema iko katika harakati za kufanya usajili kabambe ili kuziba mapengo yaliyoachwa na mshambuliaji Emmanuel Okwi na mlinzi wa kati, Kelvin Yondani ili kukiimarisha kikosi chake msimu ujao, huku ikitangaza kuwanasa wachezaji watatu wapya.

Soma zaidi...

  • Imeandikwa na Mwandishi Wetu
  • Imesomwa mara: 530
Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Mbeya, Diwani Athumani

Umisseta Mbeya yaanza kwa simanzi

MASHINDANO ya michezo kwa shule za sekondari (UMISSETA) mkoani Mbeya yamefunguliwa kwa simanzi kubwa baada ya mmoja wa waratibu wa mashindano hayo kupoteza maisha katika ajali.

Soma zaidi...

  • Imeandikwa na Joachim Nyambo, Mbeya
  • Imesomwa mara: 88

Uongozi mpya Chaneta wabarikiwa kimataifa

SHIRIKISHO la Kimataifa la Netiboli (INF), limeupongeza uongozi mpya wa Chama cha Netiboli Tanzania (Chaneta), ulio chini ya mwenyekiti wake, Anna Kibira.

Soma zaidi...

  • Imeandikwa na Cosmas Mlekani
  • Imesomwa mara: 45

Mashabiki waitwa mbio za mbuzi

WANANCHI wameombwa kujitokeza kwenye onesho la mbio za mbuzi litakalofanyika Juni mosi, mwaka huu kwenye viwanja vya The Green vilivyopo Kenyatta Drive jijini Dar es Salaam.

Soma zaidi...

  • Imeandikwa na Evance Ng’ingo
  • Imesomwa mara: 48

Wabunifu wa mavazi kuonesha kazi zao leo Dar es Salaam

MBUNIFU wa mitindo anayekuja kwa kasi, Veronica Lugenzi wa Tanzania kwa kushirikiana na wabunifu wengine kutoka nchi za Marekani, Kenya na Zambia watafanya maonesho ya mavazi kwa mara ya kwanza leo kwenye Ukumbi wa Ledger Plaza jijini Dar es Salaam.

Soma zaidi...

  • Imeandikwa na Grace Mkojera
  • Imesomwa mara: 38

Copa Coca- Cola Morogoro kuanza kesho

MICHUANO ya soka ya vijana chini ya umri wa miaka 15 inayojulikana kama Copa Coca-Cola ngazi ya wilaya, inatarajiwa kuanza kutimua vumbi mkoani Morogoro kesho ikishirikisha wilaya zote za mkoa huo.

Soma zaidi...

  • Imeandikwa na Mwandishi Wetu
  • Imesomwa mara: 44