- 24 Mei 2013
Simba yavuka mipaka usajili
KLABU ya Simba imesema iko katika harakati za kufanya usajili kabambe ili kuziba mapengo yaliyoachwa na mshambuliaji Emmanuel Okwi na mlinzi wa kati, Kelvin Yondani ili kukiimarisha kikosi chake msimu ujao, huku ikitangaza kuwanasa wachezaji watatu wapya.
- 24 Mei 2013
Umisseta Mbeya yaanza kwa simanzi
MASHINDANO ya michezo kwa shule za sekondari (UMISSETA) mkoani Mbeya yamefunguliwa kwa simanzi kubwa baada ya mmoja wa waratibu wa mashindano hayo kupoteza maisha katika ajali.
- 24 Mei 2013
Uongozi mpya Chaneta wabarikiwa kimataifa
SHIRIKISHO la Kimataifa la Netiboli (INF), limeupongeza uongozi mpya wa Chama cha Netiboli Tanzania (Chaneta), ulio chini ya mwenyekiti wake, Anna Kibira.
- 24 Mei 2013
Mashabiki waitwa mbio za mbuzi
WANANCHI wameombwa kujitokeza kwenye onesho la mbio za mbuzi litakalofanyika Juni mosi, mwaka huu kwenye viwanja vya The Green vilivyopo Kenyatta Drive jijini Dar es Salaam.
- 24 Mei 2013
Wabunifu wa mavazi kuonesha kazi zao leo Dar es Salaam
MBUNIFU wa mitindo anayekuja kwa kasi, Veronica Lugenzi wa Tanzania kwa kushirikiana na wabunifu wengine kutoka nchi za Marekani, Kenya na Zambia watafanya maonesho ya mavazi kwa mara ya kwanza leo kwenye Ukumbi wa Ledger Plaza jijini Dar es Salaam.
- 24 Mei 2013
Copa Coca- Cola Morogoro kuanza kesho
MICHUANO ya soka ya vijana chini ya umri wa miaka 15 inayojulikana kama Copa Coca-Cola ngazi ya wilaya, inatarajiwa kuanza kutimua vumbi mkoani Morogoro kesho ikishirikisha wilaya zote za mkoa huo.


