23Mei2013

 

VIJANA: Kupenda bongo?

NAMBIE mdau, bila shaka upo salama na unaendelea na pilika za maisha, msalimie shem wangu wa ‘ukweli’, tupo pamoja, jitahidini muwe pamoja hadi kifo kiwatenganishe.

Soma zaidi...

  • Imeandikwa na Basil Msongo
  • Imesomwa mara: 306

NDIMI ZA MLALAHOI: Ni waheshimiwa kweli hawa?

NILISHAPATA kusema hapa, kwamba enzi za utoto wetu tulikuwa na heshima si sawa na leo ambapo naona kabisa heshima tunaisigina mchana kweupe bila hata woga au aibu.

Soma zaidi...

  • Imeandikwa na Joseph Kulangwa
  • Imesomwa mara: 259

JARIDA LA WANAWAKE: Heko Spika Makinda kwa udhibiti nidhamu bungeni

HIVI karibuni Spika Anne Makinda amewaonya wabunge wenye tabia ya kutumia lugha za matusi wakati wa vikao vya Bunge na kusema atatumia polisi kukabiliana nao.

Soma zaidi...

  • Imeandikwa na Kaanaeli Kaale
  • Imesomwa mara: 229

HAYA NDIYO MAISHA: Uvumilivu, busara vinahitajika kuyafikia malengo yako kimaisha

MALENGO ya kiuchumi ni hatua ya kwanza katika maisha ya kuelekea kuwa na utaratibu mzuri wa kutumia fedha.

Soma zaidi...

  • Imeandikwa na Angela Semaya
  • Imesomwa mara: 108

Samaki mkunje angali mbichi

BINADAMU tunajifunza jipya kila kukicha nami katika safu hii wiki hii imenipendeza niwamegee nilichojifunza kutoka kwa rafiki yangu wa karibu, takribani miaka 20 iliyopita.

Soma zaidi...

  • Imeandikwa na Nicodemus Ikonko
  • Imesomwa mara: 93

KAMA MZAZI: Mtoto na fimbo

WAKATI wote binadamu anaposhika fimbo ili kumpiga nyoka hafanyi hivyo kwa lengo la kumtishia akimbie, bali akilenga kumwua kutokana na ukweli usiofichika kuwa nyoka ni hatari na wengi wao wana sumu.

Soma zaidi...

  • Imeandikwa na Nicodemus Ikonko
  • Imesomwa mara: 267