- 21 Aprili 2013
VIJANA: Kupenda bongo?
NAMBIE mdau, bila shaka upo salama na unaendelea na pilika za maisha, msalimie shem wangu wa ‘ukweli’, tupo pamoja, jitahidini muwe pamoja hadi kifo kiwatenganishe.
- 21 Aprili 2013
NDIMI ZA MLALAHOI: Ni waheshimiwa kweli hawa?
NILISHAPATA kusema hapa, kwamba enzi za utoto wetu tulikuwa na heshima si sawa na leo ambapo naona kabisa heshima tunaisigina mchana kweupe bila hata woga au aibu.
- 21 Aprili 2013
JARIDA LA WANAWAKE: Heko Spika Makinda kwa udhibiti nidhamu bungeni
HIVI karibuni Spika Anne Makinda amewaonya wabunge wenye tabia ya kutumia lugha za matusi wakati wa vikao vya Bunge na kusema atatumia polisi kukabiliana nao.
- 21 Aprili 2013
HAYA NDIYO MAISHA: Uvumilivu, busara vinahitajika kuyafikia malengo yako kimaisha
MALENGO ya kiuchumi ni hatua ya kwanza katika maisha ya kuelekea kuwa na utaratibu mzuri wa kutumia fedha.
- 20 Aprili 2013
Samaki mkunje angali mbichi
BINADAMU tunajifunza jipya kila kukicha nami katika safu hii wiki hii imenipendeza niwamegee nilichojifunza kutoka kwa rafiki yangu wa karibu, takribani miaka 20 iliyopita.
- 16 Aprili 2013
KAMA MZAZI: Mtoto na fimbo
WAKATI wote binadamu anaposhika fimbo ili kumpiga nyoka hafanyi hivyo kwa lengo la kumtishia akimbie, bali akilenga kumwua kutokana na ukweli usiofichika kuwa nyoka ni hatari na wengi wao wana sumu.


