18Juni2013

 

Uchunguzi mlipuko wa Arusha usiogope mtu

BAADA ya tukio la mlipuko wa bomu kwenye mkutano wa hadhara wa Chadema katika viwanja vya Soweto, katika kata ya Kaloleni, Arusha Jumamosi ambapo watu wawili walipoteza maisha na wengine kadhaa kujeruhiwa, hisia mbalimbali zimeanza kutolewa huku zingine zikitoa matokeo ya uchunguzi kabla ya kufanyika.

Soma zaidi...

  • Imeandikwa na Mhariri
  • Imesomwa mara: 148

Kazi kwenu wabunge

WABUNGE leo wanaanza kazi pevu ya kuchambua bajeti ya serikali, kazi itakayodumu takribani siku saba.

Soma zaidi...

  • Imeandikwa na Mhariri
  • Imesomwa mara: 75

Bodaboda shangilieni na fuateni sheria

"BAJAJI na bodaboda hakuna ushuru ... tuwaache vijana wetu wafanye kazi." Hiyo ni kauli ya Waziri wa Fedha, Dk William Mgimwa, alipokuwa akiwasilisha Bajeti ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2013/14 bungeni Dodoma, Alhamisi.

Soma zaidi...

  • Imeandikwa na mhariri
  • Imesomwa mara: 123

Kila la heri Taifa Stars

TIMU ya soka ya Taifa ‘Taifa Stars’, kesho itashuka katika dimba la Taifa jijini Dar es Salaam kucheza na Ivory Coast kwenye mchezo wa kuwania kufuzu fainali za Kombe la Dunia mwaka 2014 zitakazofanyika nchini Brazil.

Soma zaidi...

  • Imeandikwa na Mhariri
  • Imesomwa mara: 250

Bajeti hii ilindwe, itumiwe vizuri

JANA Serikali ilitangaza Bajeti yake ambapo zimetengwa Sh trilioni 18.2 kwa ajili ya matumizi ya mwaka ujao wa fedha, ambapo vipaumbele muhimu vimeendelea kutajwa na kupewa fedha za kutosha kuhakikisha, kwamba malengo ya kuondoa umasikini na kuongeza ajira yanafikiwa.

Soma zaidi...

  • Imeandikwa na Mhariri
  • Imesomwa mara: 166

Sheria zinazotungwa zisimamiwe, zitekelezwe

TULISHAWAHI kusema huko nyuma, kwamba Watanzania tatizo letu kubwa ni kuamua mambo na kuyaacha hapohapo kana kwamba hakuna watu wa kuyasimamia au hakuna haja ya kuyasimamia na hivyo kuwa kama ni funika kombe mwanaharamu apite.

Soma zaidi...

  • Imeandikwa na Mhariri
  • Imesomwa mara: 133