- 18 Mei 2013
Tumalize Ligi Kuu kwa amani
LEO Ligi Kuu Tanzania Bara inayoshirikisha timu 14 inafikia tamati, huku timu zitakazowakilisha nchi katika michuano ya kimataifa mwakani zikiwa tayari zimejulikana ambazo ni Yanga na Azam.
- 17 Mei 2013
Ukwepaji huu wa kodi katika madini utafutiwe dawa mapema
MADINI ni rasilimali kubwa ya nchi hii ambayo wananchi wake wamekuwa wakijivunia na kuamini kuwa itasaidia katika kuinua kipato cha nchi hususan katika kuongeza mapato ya taifa.
- 16 Mei 2013
Hongera NHC kwa ujenzi wa kubana matumizi
WARSHA ya mafunzo kwa wadau wa ujenzi wa majengo ya ofisi, nyumba za biashara na makazi iliyofanyika mwanzoni mwa wiki hii Dar es Salaam, imefungua macho wadau wa ujenzi kuhusu uwezekano wa kubuni, kuchora na kujenga majengo yasiyohitaji matumizi ya nishati kuruhusu mzunguko wa hewa ya kutosha.
- 15 Mei 2013
Iwepo sheria kudhibiti madereva wa bodaboda
USAFIRI kwenye maeneo kadhaa nchini umerahisishwa hasa kwa kuwa na vyombo vya moto kama vile magari, ndege na pikipiki.
- 14 Mei 2013
Matatizo ya ukatili wa watoto yatafutiwe dawa
NI jambo la kusikitisha na kutia aibu kusikia binadamu anamfanyia unyama binadamu mwenzake tena mtoto bila huruma, kisa si mtoto wake wa kumzaa au tu eti kafanya kosa.
- 13 Mei 2013
Polisi wanazembea kesi za askari watuhumiwa
KITUO cha Sheria na Haki za Binadamu kimetoa ripoti yake ya hali ya haki za binadamu nchini ambako imeoneshwa kuwa jumla ya watu 246 wamepoteza maisha nchini wakiwa kwenye mikono ya vyombo vya ulinzi na usalama tangu mwaka 2003 hadi mwaka jana.


