18Mei2013

 

Tumalize Ligi Kuu kwa amani

LEO Ligi Kuu Tanzania Bara inayoshirikisha timu 14 inafikia tamati, huku timu zitakazowakilisha nchi katika michuano ya kimataifa mwakani zikiwa tayari zimejulikana ambazo ni Yanga na Azam.

Soma zaidi...

  • Imeandikwa na Betram Lengama
  • Imesomwa mara: 14

Ukwepaji huu wa kodi katika madini utafutiwe dawa mapema

MADINI ni rasilimali kubwa ya nchi hii ambayo wananchi wake wamekuwa wakijivunia na kuamini kuwa itasaidia katika kuinua kipato cha nchi hususan katika kuongeza mapato ya taifa.

Soma zaidi...

  • Imeandikwa na Theopista Nsanzugwanko
  • Imesomwa mara: 53

Hongera NHC kwa ujenzi wa kubana matumizi

WARSHA ya mafunzo kwa wadau wa ujenzi wa majengo ya ofisi, nyumba za biashara na makazi iliyofanyika mwanzoni mwa wiki hii Dar es Salaam, imefungua macho wadau wa ujenzi kuhusu uwezekano wa kubuni, kuchora na kujenga majengo yasiyohitaji matumizi ya nishati kuruhusu mzunguko wa hewa ya kutosha.

Soma zaidi...

  • Imeandikwa na Namsembaeli Mduma
  • Imesomwa mara: 119

Iwepo sheria kudhibiti madereva wa bodaboda

USAFIRI kwenye maeneo kadhaa nchini umerahisishwa hasa kwa kuwa na vyombo vya moto kama vile magari, ndege na pikipiki.

Soma zaidi...

  • Imeandikwa na Ikunda Erick
  • Imesomwa mara: 114

Matatizo ya ukatili wa watoto yatafutiwe dawa

NI jambo la kusikitisha na kutia aibu kusikia binadamu anamfanyia unyama binadamu mwenzake tena mtoto bila huruma, kisa si mtoto wake wa kumzaa au tu eti kafanya kosa.

Soma zaidi...

  • Imeandikwa na Halima Mlacha
  • Imesomwa mara: 125

Polisi wanazembea kesi za askari watuhumiwa

KITUO cha Sheria na Haki za Binadamu kimetoa ripoti yake ya hali ya haki za binadamu nchini ambako imeoneshwa kuwa jumla ya watu 246 wamepoteza maisha nchini wakiwa kwenye mikono ya vyombo vya ulinzi na usalama tangu mwaka 2003 hadi mwaka jana.

Soma zaidi...

  • Imeandikwa na Shadrack Sagati
  • Imesomwa mara: 166