EWURA Banner
HabariLeo Logo
 
Tafuta:
 
 
 
Habari za Kitaifa

‘Watanzania jitokezeni kwenye mijadala ya elimu’
Imeandikwa na Na Simon Nyalobi; Tarehe: 7th November 2009 @ 18:16 Imesomwa na watu: 217; Jumla ya maoni: 0


Habari Zaidi:
  • Rushwa yawaponza polisi
  • Wasiofunga vidhibiti mwendo kukiona
  • Kapuya aagiza NSSF iiokoe CCM Kigamboni
  • Mshitakiwa 'kesi ya Magufuli' aaga dunia
  • Muswada wa Uchaguzi warudi kwenye Kamati
  • Mgombea binafsi bado kitendawili
  • Vyama ‘vidogo’ Z’bar vyachachamaa
  • Dereva Chatco kizimbani, akabiliwa na mashitaka 82
  • 'Utamaduni wasababisha kaya kuishi bila vyoo Pangani'
  • Kigoma waililia mitihani ya kata
  • Madereva sasa kupata leseni mpya Juni
  • Kinara 'form 4' afichua siri
  • Muswada wa uchaguzi moto
  • JK aagiza ujenzi Reli ya Kati uharakishwe
  • Anusurika kupigwa kanisani kwa wizi
  • Madereva 17 wa mabasi wafungiwa leseni
  • ‘Mradi wa vitambulisho vya Taifa sio wa kifisadi’
  • Wakataeni wanaotumia fedha kupata uongozi CCM - Pinda
  • Tendwa awaruka CCJ
  • Vitambulisho vya Taifa kutolewa mwaka huu

  • Habari zinazosomwa zaidi:
  • Balaa lingine kwa Chenge
  • Salama: Jasiri aliyetangaza kuishi na virusi vya Ukimwi
  • Dina Marius, mrithi wa Amina Chifupa
  • Vatican yamvua jimbo Askofu
  • ‘Housigeli’ anataka kuniharibia ndoa
  • Waliochaguliwa kujiunga kidato cha tano waongezeka kwa 22%
  • Kikwete achekecha wakuu wa wilaya
  • Orijino Komedi, Jay Dee waitwa Iringa
  • Interpol yatumika kusaka wenye zeutamu
  • JK apigilia msumari wa mwisho Dowans
  • WATANZANIA wametakiwa kujenga tabia ya kuandika machapisho ya utafiti wao na kujitokeza katika mijadala ya kimataifa kuhusu elimu badala ya kuogopa na kukaa pembeni.

    Mwito huo ulitolewa jana Dar es Salaam na Ofisa Mipango ya Elimu wa Shirika la Oxfam tawi la Tanzania, Mary Soko wakati wa akifunga warsha ya siku tatu ya Jumuiya ya Utendaji wa Elimu nchini iliyokuwa na washiriki 40 kutoka maeneo mbalimbali nchini.

    Soko alisema kuwa Wataznania wengi hawajitokezi katika makongamano ya kimataifa kuonesha utafiti wao ikilinganishwa na mataifa mengine hususani Nigeria ambayo raia wake hujitokeza kila kongamano la usomaji wa vitabu linapotokea.

    Alisema kuwa hata makongamano yanayofanyika hapa nchini, hayana muamko kwa kuwa watanzania wengi wamekuwa nyuma kushiriki. Kutokana na hali hiyo, amewataka sasa kujitokeza kila yanapotokea makongamano ya usomaji wa vitabu ili kuiweka nchi katika ramani ya wasomi kwani uwezo wa kufanya hivyo wanao.

    Hata hivyo aliasa tabia ya kusoma iboreshwe katika jamii hususani wadau wa elimu, ili waongeze maarifa ya kuandika utafiti wao kwa usahihi.

    Pia aliwataka walimu kuacha kulala na badala yake waihamasishe serikali kuhusu mustakabali wa elimu ili kudumisha kiwango cha elimu nchini kwani wakishindwa wao taifa nalo litashindwa.

    Katika hatua nyingine alilitaka Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA), Taasisi ya Ukuzaji wa Mitaala na Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi kushirikiana kwa pamoja ili kuboresha kiwango cha elimu nchini.

     
         
     
    Jumla Maoni (0)
         
     
     
      Tuma Maoni yako
       

    Jina la Kwanza:

    Jina la mwisho:
    Baruapepe: Barua Pepe imekosewa.
    Maoni yako:   Andika Maoni yako tafadhali.Tafadhali andika Maoni yako.
     
     
     
    WAZO LANGU
    Image

    Kwa hili wabunge mnakumbatia rushwa

    SOMA | HIFADHI
    SAFU
    Image

    Bila nyumba huongozi!

    SOMA | HIFADHI
    NYOTA WA WIKI
    Image

    Mtangazaji, MC, mkufunzi wa ‘Kitchen Party’

    SOMA | HIFADHI
    JISAJILI NASI
    Jina la kwanza:
    Jina la Ukoo:
    Baruapepe: A value is required.
     
     
     
    Wasiliana nasi mhariri@habarileo.co.tz, advertising@dailynews.co.tz
    Simu:+255 22 2 127492 au 22 2 116074 au +255 22 2 110595 au 22 2 127493
    HabariLeo © 2009 Haki zote zimehifadhiwa.
    DailyNews Building, Plot 7, Samora Avenue, Box 9033, Dar es Salaam, Tanzania Copyright © 2009 DailyNews Media Group
    Advertisement
    TSN Adveritising