Waziri wa Nishati, Dkt Medard Kalemani (wa Nne kushoto), Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Br. Gen. Mstaafu Emanuel Maganga (wa Tano kushoto), Mbunge wa Muhangwe ambaye ni Naibu Waziri wa Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi, Atashasta Nditiye (wa pili kushoto), Mbunge wa Buyungu, Kasuku Bilago (wa Kwanza kushoto) wakifunua kitambaa kuashiria uzinduzi wa Mradi wa usambazaji umeme vijijini Awamu ya Tatu katika wilaya za Kibondo na Kakonko.